Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Nami nitakaa katikati ya wana wa Israeli, nami nitakuwa Mungu wao.+

  • Mambo ya Walawi 26:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na hakika mimi nitaweka maskani yangu katikati yenu,+ nayo nafsi yangu haitawachukia ninyi.+

  • Kumbukumbu la Torati 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana Yehova Mungu wako anatembea ndani ya kambi yako ili kukukomboa+ na kuwatia adui zako mkononi mwako;+ na kambi yako lazima iwe takatifu,+ ili asione kitu chochote kisichofaa ndani yako naye ageuke na kuacha kuandamana nawe.+

  • Zaburi 46:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mungu yuko katikati ya jiji;+ halitatikisika.+

      Mungu atalisaidia wakati wa mapambazuko ya asubuhi.+

  • Isaya 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Paaza sauti na upige kelele kwa shangwe, Ee mwanamke mkaaji wa Sayuni, kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”+

  • 2 Wakorintho 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na hekalu la Mungu lina upatano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu+ la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa katikati yao+ na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki