Mambo ya Walawi 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nanyi msitembee katika sheria za mataifa ambayo nitayafukuza kutoka mbele yenu,+ kwa sababu wamefanya mambo hayo yote nami nayachukia.+ Yeremia 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Usitutendee bila heshima kwa ajili ya jina lako;+ usikidharau kiti chako cha ufalme chenye utukufu.+ Ukumbuke; usivunje agano lako pamoja nasi.+
23 Nanyi msitembee katika sheria za mataifa ambayo nitayafukuza kutoka mbele yenu,+ kwa sababu wamefanya mambo hayo yote nami nayachukia.+
21 Usitutendee bila heshima kwa ajili ya jina lako;+ usikidharau kiti chako cha ufalme chenye utukufu.+ Ukumbuke; usivunje agano lako pamoja nasi.+