Yeremia 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndiyo, tangazeni jambo hilo, kwa mataifa. Lihubirini dhidi ya Yerusalemu.” “Walinzi wanakuja kutoka katika nchi ya mbali,+ nao wataipaaza sauti yao juu ya majiji ya Yuda. Yeremia 32:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Yuda wamekuwa tu watendaji wa mambo mabaya machoni pangu, tangu ujana wao na kuendelea;+ kwa maana wana wa Israeli pia wananitia uchungu kwa kazi za mikono yao,’+ asema Yehova.
16 Ndiyo, tangazeni jambo hilo, kwa mataifa. Lihubirini dhidi ya Yerusalemu.” “Walinzi wanakuja kutoka katika nchi ya mbali,+ nao wataipaaza sauti yao juu ya majiji ya Yuda.
30 “‘Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Yuda wamekuwa tu watendaji wa mambo mabaya machoni pangu, tangu ujana wao na kuendelea;+ kwa maana wana wa Israeli pia wananitia uchungu kwa kazi za mikono yao,’+ asema Yehova.