Yeremia 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ambaye neno la Yehova lilimjia katika siku za Yosia+ mwana wa Amoni,+ mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na tatu wa utawala wake.+ Yeremia 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Tangu mwaka wa 13 wa Yosia+ mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda, mpaka leo hii, miaka hii 23, neno la Yehova limenijia, nikaendelea kusema nanyi, nikiamka mapema na kusema, lakini hamkusikiliza.+
2 ambaye neno la Yehova lilimjia katika siku za Yosia+ mwana wa Amoni,+ mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na tatu wa utawala wake.+
3 “Tangu mwaka wa 13 wa Yosia+ mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda, mpaka leo hii, miaka hii 23, neno la Yehova limenijia, nikaendelea kusema nanyi, nikiamka mapema na kusema, lakini hamkusikiliza.+