11 wakati ambapo Israeli wote watakuja kuuona uso wa Yehova+ Mungu wako katika mahali atakapopachagua,+ utaisoma sheria hii mbele ya Israeli wote masikioni mwao.+
8 Wakaendelea kusoma+ kwa sauti katika kitabu hicho, katika sheria ya Mungu wa kweli, nayo ikafafanuliwa, na kuelezwa maana yake; nao wakaendelea kufafanua usomaji huo.+