Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Habakuki 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova naye akanijibu na kusema: “Andika maono hayo, na kuyaweka waziwazi kwenye mabamba,+ ili anayeyasoma kwa sauti aweze kufanya hivyo kwa wepesi.+

  • Luka 24:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Naye akaanzia Musa+ na Manabii+ wote, akawafasiria mambo yanayomhusu yeye mwenyewe katika Maandiko yote.

  • Matendo 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Akasema: “Kwa kweli, ninawezaje kuelewa, mtu fulani asiponiongoza?” Naye akamsihi Filipo apande na kuketi pamoja naye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki