Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sasa watu wakawa kama watu wenye jambo baya la kulalamika masikioni mwa Yehova.+ Yehova alipolisikia jambo hilo, hasira yake ikawaka, nao moto wa Yehova ukaanza kuwaka juu yao na kuteketeza wengine kati yao katika mwisho wa kambi.+

  • Isaya 5:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ndiyo sababu hasira ya Yehova imewaka juu ya watu wake, naye atanyoosha mkono wake juu yao na kuwapiga.+ Na milima itatetemeka,+ na maiti zao zitakuwa kama takataka katikati ya barabara.+

      Kwa sababu ya hayo yote hasira yake haijarudi nyuma, bali mkono wake bado umenyooshwa.

  • Nahumu 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili+ na hulipiza kisasi; Yehova analipiza kisasi+ naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu.+ Yehova anawalipiza kisasi wapinzani wake,+ naye ana kinyongo juu ya adui zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki