Zaburi 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na mbinguni Yehova akaanza kunguruma,+Na Aliye Juu Zaidi akaanza kutoa sauti yake,+Mvua ya mawe na makaa yanayowaka moto. Zaburi 50:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu wetu atakuja naye hawezi kukaa kimya.+Mbele zake kuna moto unaoteketeza,+Na kumzunguka pande zote hali ya hewa imekuwa yenye dhoruba kali sana.+
13 Na mbinguni Yehova akaanza kunguruma,+Na Aliye Juu Zaidi akaanza kutoa sauti yake,+Mvua ya mawe na makaa yanayowaka moto.
3 Mungu wetu atakuja naye hawezi kukaa kimya.+Mbele zake kuna moto unaoteketeza,+Na kumzunguka pande zote hali ya hewa imekuwa yenye dhoruba kali sana.+