Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sefania 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘Kwa hiyo endeleeni kunitarajia,’+ asema Yehova, ‘mpaka siku nitakaposimama kwenda kuteka nyara,+ kwa maana uamuzi wangu wa hukumu ni kukusanya mataifa,+ nizikusanye falme pamoja, ili nizimwagie shutuma yangu,+ hasira yangu yote yenye kuwaka; kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yangu.+

  • Zekaria 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nitakusanya mataifa yote yalete vita+ juu ya Yerusalemu; na jiji hilo litatekwa+ na nyumba zitanyakuliwa, na wanawake watalalwa kinguvu.+ Na nusu ya jiji itaenda uhamishoni;+ lakini watu watakaobaki,+ hawatakatiliwa mbali kutoka katika jiji hilo.+

  • Ufunuo 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nayo yakawakusanya pamoja mahali panapoitwa katika Kiebrania Har-Magedoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki