18 Lakini furahini,+ na muwe na shangwe milele katika hivi ninavyoumba.+ Kwa maana tazama, mimi ninaumba Yerusalemu kuwa sababu ya kushangilia na watu wake kuwa sababu ya kufurahi.+
2 Nikaona pia lile jiji takatifu,+ Yerusalemu Jipya, likishuka kutoka mbinguni+ kwa Mungu na limetayarishwa kama bibi-arusi+ aliyepambwa kwa ajili ya mume wake.+