22 Na Yosia hakugeuza uso wake kutoka kwake,+ lakini akajibadili sura+ ili kupigana naye wala hakuyasikiliza maneno ya Neko+ kutoka kinywani mwa Mungu. Basi akaja kupigana katika nchi tambarare ya bondeni ya Megido.+
19 Nami nikamwona yule mnyama-mwitu+ na wafalme+ wa dunia na majeshi yao wamekusanyika pamoja ili kupigana vita+ na yule anayeketi juu ya farasi+ na jeshi lake.