Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo Yeroboamu akamwambia mke wake: “Tafadhali, ondoka, ujibadili sura,+ ili wasijue kuwa wewe ni mke wa Yeroboamu, uende Shilo. Tazama! Huko ndiko aliko Ahiya+ nabii. Yeye ndiye aliyesema kunihusu mimi habari za kuwa mfalme juu ya watu hawa.+

  • 1 Wafalme 22:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Sasa mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Mimi nitajibadili sura na kuingia vitani,+ lakini wewe vaa mavazi yako.”+ Kwa hiyo mfalme wa Israeli akajibadili sura,+ akaingia vitani.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 18:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Sasa mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Mimi nitajibadili sura+ na kuingia vitani, lakini wewe vaa mavazi yako.”+ Kwa hiyo mfalme wa Israeli akajibadili sura, kisha wakaingia vitani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki