2 Kwa hiyo Yeroboamu akamwambia mke wake: “Tafadhali, ondoka, ujibadili sura,+ ili wasijue kuwa wewe ni mke wa Yeroboamu, uende Shilo. Tazama! Huko ndiko aliko Ahiya+ nabii. Yeye ndiye aliyesema kunihusu mimi habari za kuwa mfalme juu ya watu hawa.+
30 Sasa mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Mimi nitajibadili sura na kuingia vitani,+ lakini wewe vaa mavazi yako.”+ Kwa hiyo mfalme wa Israeli akajibadili sura,+ akaingia vitani.+
29 Sasa mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Mimi nitajibadili sura+ na kuingia vitani, lakini wewe vaa mavazi yako.”+ Kwa hiyo mfalme wa Israeli akajibadili sura, kisha wakaingia vitani.+