5 Na Yehova alikuwa amemwambia Ahiya: “Tazama, mke wa Yeroboamu anakuja kuomba neno kutoka kwako kuhusu mwana wake; kwa maana ni mgonjwa. Umwambie hivi na hivi. Na itatukia kwamba mara tu atakapofika, atakuwa anajifanya asiweze kutambuliwa.”+
38 Ndipo yule nabii akaenda, akasimama tuli akimngojea mfalme kando ya barabara, naye akakaa akiwa amejibadilisha sura+ kwa kujifunga kitambaa juu ya macho yake.