19 mkuu katika shauri+ na mwingi katika matendo,+ wewe ambaye macho yako yamefunguliwa juu ya njia zote za wanadamu,+ ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake na kulingana na matunda ya matendo yake;+
20 Na, baada ya kumtazama sana, wakatuma watu waliokodiwa kwa siri wasingizie kwamba walikuwa waadilifu, ili wapate kumnasa+ katika maneno, ili wamkabidhi kwa serikali na kwa mamlaka ya gavana.+