29 Katika siku zake Farao Neko+ mfalme wa Misri alipanda kuja kwa mfalme wa Ashuru kando ya mto Efrati,+ na Mfalme Yosia akaenda kukutana naye;+ lakini akamuua+ kule Megido+ mara tu alipomwona.
22 Na Yosia hakugeuza uso wake kutoka kwake,+ lakini akajibadili sura+ ili kupigana naye wala hakuyasikiliza maneno ya Neko+ kutoka kinywani mwa Mungu. Basi akaja kupigana katika nchi tambarare ya bondeni ya Megido.+