8 Yehova amesema hivi: “Kama vile divai mpya+ inavyopatikana katika kishada na mtu husema, ‘Usikiharibu,+ kwa sababu baraka imo ndani yake,’+ ndivyo nitakavyofanya kwa ajili ya watumishi wangu ili nisimharibu kila mtu.+
22 Kwa kweli, kama siku hizo hazingefupishwa, hakuna chochote chenye mwili ambacho kingeokolewa; lakini kwa sababu ya wale waliochaguliwa+ siku hizo zitafupishwa.+