Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 65:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yehova amesema hivi: “Kama vile divai mpya+ inavyopatikana katika kishada na mtu husema, ‘Usikiharibu,+ kwa sababu baraka imo ndani yake,’+ ndivyo nitakavyofanya kwa ajili ya watumishi wangu ili nisimharibu kila mtu.+

  • Mathayo 21:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Ufalme wa Mungu utachukuliwa kutoka kwenu na kupewa taifa lenye kuzaa matunda yake.+

  • Mathayo 24:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa kweli, kama siku hizo hazingefupishwa, hakuna chochote chenye mwili ambacho kingeokolewa; lakini kwa sababu ya wale waliochaguliwa+ siku hizo zitafupishwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki