Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yehova amesema hivi juu ya jirani zangu wote wabaya,+ wanaogusa fungu la urithi ambalo niliwamilikisha watu wangu, Israeli:+ “Tazama, ninawang’oa kutoka katika nchi yao;+ na nyumba ya Yuda nitaing’oa kutoka katikati yao.+

  • Ezekieli 35:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Kwa sababu ulisema, ‘Mataifa haya mawili na nchi hizi mbili—zitakuwa zangu mwenyewe, nasi hakika tutaitwaa kila nchi,’+ ijapokuwa Yehova mwenyewe alikuwa hapo,+

  • Sefania 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Nimesikia shutuma za Moabu+ na maneno mabaya ya wana wa Amoni,+ ambayo wametumia kuwashutumu watu wangu na kuendelea kujivuna sana juu ya eneo lao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki