Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye akasema: “Tazama, nakujulisha mambo yatakayotokea wakati wa mwisho wa shutuma, kwa sababu ni kwa wakati uliowekwa wa mwisho.+

  • Mika 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na itatukia katika siku za mwisho+ kwamba mlima+ wa nyumba+ ya Yehova utawekwa imara juu ya kilele cha milima, nao utainuliwa juu ya vilima;+ na vikundi vya watu vitamiminika huko.+

  • Mathayo 24:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba kizazi hiki+ hakitapitilia mbali kamwe mpaka mambo yote hayo yatukie.

  • Waroma 16:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa upande wake, Mungu anayetoa amani+ atamponda Shetani+ chini ya miguu yenu upesi. Fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu na ziwe pamoja nanyi.+

  • 2 Timotheo 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini ujue jambo hili, ya kwamba katika siku za mwisho+ kutakuwa na nyakati za hatari zilizo ngumu kushughulika nazo.+

  • 2 Petro 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana mnajua hili kwanza, kwamba katika siku za mwisho+ watakuja wadhihaki+ na dhihaka zao, wakiendelea kulingana na tamaa zao wenyewe+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki