Matendo 7:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 ninyi mliopokea Sheria kama ilivyopitishwa na malaika+ lakini hamkuishika.” Waebrania 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni+ na jiji+ la Mungu aliye hai, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika,+ Ufunuo 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akafungua kinywa chake kwa kumkufuru+ Mungu, kulikufuru jina lake na makao yake, hata wale wanaokaa mbinguni.+
22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni+ na jiji+ la Mungu aliye hai, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika,+
6 Naye akafungua kinywa chake kwa kumkufuru+ Mungu, kulikufuru jina lake na makao yake, hata wale wanaokaa mbinguni.+