2 Wafalme 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na msikubali Hezekia awafanye mumtumaini Yehova mkisema: “Kwa hakika Yehova atatuokoa, na jiji hili halitatiwa mikononi mwa mfalme wa Ashuru.”+
30 Na msikubali Hezekia awafanye mumtumaini Yehova mkisema: “Kwa hakika Yehova atatuokoa, na jiji hili halitatiwa mikononi mwa mfalme wa Ashuru.”+