32 “‘Ndiyo sababu Yehova amesema hivi kumhusu mfalme wa Ashuru:+ “Hataingia katika jiji+ hili wala hatapiga mshale+ humo wala kulikabili kwa ngao wala kujenga juu yake boma la kulizingira.+
15 Wala msiache Hezekia awafanye ninyi mkamtegemee Yehova,+ na kusema: “Hakika Yehova atatukomboa.+ Jiji hili halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+