2 Wafalme 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Mwambieni hivi Hezekia mfalme wa Yuda, ‘Usiache Mungu unayemtegemea akudanganye,+ na kusema: “Yerusalemu+ halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+ 2 Wafalme 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juuyake?Nawe umepaaza sauti+yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+ Zaburi 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimemkimbilia Yehova.+Mnawezaje kuthubutu kuiambia nafsi yangu:“Kimbieni kwenye mlima wenu kama ndege!+ Zaburi 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Yeye alijitia mikononi mwa Yehova.+ Acha Yeye amwokoe!+Na amkomboe, kwa kuwa yeye amependezwa naye!”+
10 “Mwambieni hivi Hezekia mfalme wa Yuda, ‘Usiache Mungu unayemtegemea akudanganye,+ na kusema: “Yerusalemu+ halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+
22 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juuyake?Nawe umepaaza sauti+yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+
11 Nimemkimbilia Yehova.+Mnawezaje kuthubutu kuiambia nafsi yangu:“Kimbieni kwenye mlima wenu kama ndege!+
8 “Yeye alijitia mikononi mwa Yehova.+ Acha Yeye amwokoe!+Na amkomboe, kwa kuwa yeye amependezwa naye!”+