Kutoka 32:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa nini Wamisri+ waseme, ‘Aliwatoa kwa nia mbaya ili awaue katikati ya milima na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi’?+ Geukia mbali uiache hasira yako inayowaka+ na ujute+ kuhusu uovu huo juu ya watu wako. Hesabu 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ukiwaua watu hawa kama mtu mmoja,+ ndipo mataifa ambayo yamesikia juu ya sifa yako watasema hivi, Kumbukumbu la Torati 32:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Isingalikuwa kwa sababu niliogopa usumbufu kutoka kwa adui,+Kwamba wapinzani wao wangaliweza kuelewa vibaya,+Ili waseme: “Mkono wetu umeshinda,+Na si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”+
12 Kwa nini Wamisri+ waseme, ‘Aliwatoa kwa nia mbaya ili awaue katikati ya milima na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi’?+ Geukia mbali uiache hasira yako inayowaka+ na ujute+ kuhusu uovu huo juu ya watu wako.
27 Isingalikuwa kwa sababu niliogopa usumbufu kutoka kwa adui,+Kwamba wapinzani wao wangaliweza kuelewa vibaya,+Ili waseme: “Mkono wetu umeshinda,+Na si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”+