Zaburi 42:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+ Zaburi 115:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa nini mataifa yaseme:+“Yuko wapi, sasa, Mungu wao?”+ Yoeli 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Makuhani, walio wahudumu wa Yehova, na walie kati ya ukumbi na madhabahu,+ wakisema, ‘Ee Yehova, wasikitikie watu wako, usiufanye urithi wako kuwa shutuma,+ mataifa wawatawale. Kwa nini waseme kati ya makabila ya watu: “Yuko wapi Mungu wao?” ’+
3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+
17 “Makuhani, walio wahudumu wa Yehova, na walie kati ya ukumbi na madhabahu,+ wakisema, ‘Ee Yehova, wasikitikie watu wako, usiufanye urithi wako kuwa shutuma,+ mataifa wawatawale. Kwa nini waseme kati ya makabila ya watu: “Yuko wapi Mungu wao?” ’+