19 Naye akaiteketeza nyumba ya Mungu wa kweli+ na kuubomoa ukuta+ wa Yerusalemu; na minara yake yote ya makao wakaiteketeza kwa moto na pia vyombo vyake vyote vyenye kutamanika,+ ili kufanya uharibifu.+
29 Na Wakaldayo wanaopiga vita juu ya jiji hili wataingia ndani na kuliwasha jiji hili na kuliteketeza kwa moto+ na nyumba ambazo juu ya paa zake wamemfukizia Baali moshi wa dhabihu na kuimiminia miungu mingine matoleo ya kinywaji kwa kusudi la kunitia uchungu.’+
14 Naye Israeli akaanza kumsahau Mtengenezaji wake+ na kujenga mahekalu;+ naye Yuda akazidisha majiji yenye ngome.+ Nami nitapeleka moto katika majiji yake nao utateketeza minara ya makao ya kila mmoja.”+