Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Wafilisti wakapigana, na Israeli wakashindwa,+ nao wakakimbia kila mmoja kwenda katika hema lake;+ na mauaji hayo yakawa makubwa sana,+ hivi kwamba katika Israeli wakaanguka watu 30,000 wenye kwenda kwa miguu.+

  • Zaburi 78:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 Naye mwishowe akaiacha maskani ya Shilo,+

      Lile hema ambalo alikaa ndani yake katikati ya watu wa udongo.+

  • Yeremia 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 mimi, kwa upande wangu, nitaifanya nyumba hii kama ile iliyo katika Shilo,+ na jiji hili nitalifanya kuwa laana kwa mataifa yote ya dunia.’”’”+

  • Maombolezo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova ameitupilia mbali madhabahu yake.+ Patakatifu pake amepakataa kwa dharau.+

      Ametia katika mkono wa adui kuta za minara ya makao yake.+

      Wamepaaza sauti zao ndani ya nyumba ya Yehova, kama katika siku ya sherehe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki