1 Samweli 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi Wafilisti wakapigana, na Israeli wakashindwa,+ nao wakakimbia kila mmoja kwenda katika hema lake;+ na mauaji hayo yakawa makubwa sana,+ hivi kwamba katika Israeli wakaanguka watu 30,000 wenye kwenda kwa miguu.+ Zaburi 78:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Naye mwishowe akaiacha maskani ya Shilo,+Lile hema ambalo alikaa ndani yake katikati ya watu wa udongo.+ Yeremia 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 mimi, kwa upande wangu, nitaifanya nyumba hii kama ile iliyo katika Shilo,+ na jiji hili nitalifanya kuwa laana kwa mataifa yote ya dunia.’”’”+ Maombolezo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ameitupilia mbali madhabahu yake.+ Patakatifu pake amepakataa kwa dharau.+Ametia katika mkono wa adui kuta za minara ya makao yake.+Wamepaaza sauti zao ndani ya nyumba ya Yehova, kama katika siku ya sherehe.+
10 Basi Wafilisti wakapigana, na Israeli wakashindwa,+ nao wakakimbia kila mmoja kwenda katika hema lake;+ na mauaji hayo yakawa makubwa sana,+ hivi kwamba katika Israeli wakaanguka watu 30,000 wenye kwenda kwa miguu.+
60 Naye mwishowe akaiacha maskani ya Shilo,+Lile hema ambalo alikaa ndani yake katikati ya watu wa udongo.+
6 mimi, kwa upande wangu, nitaifanya nyumba hii kama ile iliyo katika Shilo,+ na jiji hili nitalifanya kuwa laana kwa mataifa yote ya dunia.’”’”+
7 Yehova ameitupilia mbali madhabahu yake.+ Patakatifu pake amepakataa kwa dharau.+Ametia katika mkono wa adui kuta za minara ya makao yake.+Wamepaaza sauti zao ndani ya nyumba ya Yehova, kama katika siku ya sherehe.+