21 ‘Waambie watu wa nyumba ya Israeli, “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Niko karibu kupatia unajisi mahali pangu patakatifu,+ chanzo cha fahari yenu kubwa, kitu mnachokipenda sana na tamaa ya moyo wenu. Wana na mabinti wenu mliowaacha watauawa kwa upanga.+