Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 74:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Walichoma moto mahali pako patakatifu.+

      Walichafua hema la ibada lenye jina lako, wakaliangusha chini.

  • Zaburi 79:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 79 Ee Mungu, mataifa yamevamia urithi wako;+

      Yamelichafua hekalu lako takatifu;+

      Yamebadili Yerusalemu kuwa rundo la magofu.+

  • Yeremia 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndivyo nitakavyoitendea nyumba inayoitwa kwa jina langu,+ ambayo mnaitumaini,+ na mahali hapa ambapo niliwapa ninyi na mababu zenu, kama nilivyoitendea Shilo.+

  • Maombolezo 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Adui amechukua hazina zake zote.+

      Kwa maana ameona* mataifa yakiingia mahali pake patakatifu,+

      Watu ulioamuru wasiingie katika kutaniko lako.

  • Maombolezo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova ameikataa madhabahu yake;

      Amedharau mahali pake patakatifu.+

      Amesalimisha kuta za minara yake yenye ngome mikononi mwa adui.+

      Wameinua sauti yao ndani ya nyumba ya Yehova,+ kama inavyokuwa siku ya sherehe.

  • Ezekieli 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha akawaambia: “Itieni nyumba unajisi na kuzijaza nyua wale waliouawa.+ Nendeni!” Basi wakaenda na kuwaua watu jijini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki