Zaburi 74:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Walichoma moto mahali pako patakatifu.+ Walichafua hema la ibada lenye jina lako, wakaliangusha chini. Zaburi 79:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 79 Ee Mungu, mataifa yamevamia urithi wako;+Yamelichafua hekalu lako takatifu;+Yamebadili Yerusalemu kuwa rundo la magofu.+ Yeremia 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndivyo nitakavyoitendea nyumba inayoitwa kwa jina langu,+ ambayo mnaitumaini,+ na mahali hapa ambapo niliwapa ninyi na mababu zenu, kama nilivyoitendea Shilo.+ Maombolezo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Adui amechukua hazina zake zote.+ Kwa maana ameona* mataifa yakiingia mahali pake patakatifu,+Watu ulioamuru wasiingie katika kutaniko lako. Maombolezo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ameikataa madhabahu yake;Amedharau mahali pake patakatifu.+ Amesalimisha kuta za minara yake yenye ngome mikononi mwa adui.+ Wameinua sauti yao ndani ya nyumba ya Yehova,+ kama inavyokuwa siku ya sherehe. Ezekieli 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha akawaambia: “Itieni nyumba unajisi na kuzijaza nyua wale waliouawa.+ Nendeni!” Basi wakaenda na kuwaua watu jijini.
7 Walichoma moto mahali pako patakatifu.+ Walichafua hema la ibada lenye jina lako, wakaliangusha chini.
79 Ee Mungu, mataifa yamevamia urithi wako;+Yamelichafua hekalu lako takatifu;+Yamebadili Yerusalemu kuwa rundo la magofu.+
14 Ndivyo nitakavyoitendea nyumba inayoitwa kwa jina langu,+ ambayo mnaitumaini,+ na mahali hapa ambapo niliwapa ninyi na mababu zenu, kama nilivyoitendea Shilo.+
10 Adui amechukua hazina zake zote.+ Kwa maana ameona* mataifa yakiingia mahali pake patakatifu,+Watu ulioamuru wasiingie katika kutaniko lako.
7 Yehova ameikataa madhabahu yake;Amedharau mahali pake patakatifu.+ Amesalimisha kuta za minara yake yenye ngome mikononi mwa adui.+ Wameinua sauti yao ndani ya nyumba ya Yehova,+ kama inavyokuwa siku ya sherehe.
7 Kisha akawaambia: “Itieni nyumba unajisi na kuzijaza nyua wale waliouawa.+ Nendeni!” Basi wakaenda na kuwaua watu jijini.