Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 4:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Wafilisti wakapigana nao, na Waisraeli wakashindwa,+ na kila mmoja wao akakimbilia katika hema lake. Yalikuwa mauaji makubwa sana; wanajeshi 30,000 wa Israeli wanaotembea kwa miguu waliuawa. 11 Isitoshe, Sanduku la Mungu lilitekwa, na wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, wakafa.+

  • Zaburi 78:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 Mwishowe akaliacha hema la ibada lililo Shilo,+

      Hema alimokaa miongoni mwa wanadamu.+

  • Yeremia 26:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Waambie, “Yehova anasema hivi: ‘Ikiwa hamtanisikiliza kwa kufuata sheria* yangu niliyoweka mbele yenu,

  • Yeremia 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 basi nitaifanya nyumba hii kama Shilo,+ nami nitalifanya jiji hili kuwa kitu cha kulaaniwa na mataifa yote ya dunia.’”’”+

  • Maombolezo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova ameikataa madhabahu yake;

      Amedharau mahali pake patakatifu.+

      Amesalimisha kuta za minara yake yenye ngome mikononi mwa adui.+

      Wameinua sauti yao ndani ya nyumba ya Yehova,+ kama inavyokuwa siku ya sherehe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki