Yoshua 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baada ya kuitiisha nchi,+ Waisraeli wote wakakusanyika Shilo+ na kupiga hema la mkutano+ huko. 1 Samweli 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Isitoshe, Sanduku la Mungu lilitekwa, na wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, wakafa.+