Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Tazama! Siku zinakuja nitakapokata nguvu zako na za* nyumba ya baba yako, hivi kwamba hakuna mwanamume yeyote wa nyumba yako atakayeishi na kuzeeka.+

  • 1 Samweli 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na mambo yatakayowapata wana wako wawili, Hofni na Finehasi, yatakuwa ishara kwako: Wote wawili watakufa siku ileile.+

  • 1 Samweli 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Watu waliporudi kambini, wazee wa Israeli wakasema hivi: “Kwa nini Yehova ameruhusu tushindwe leo na Wafilisti?*+ Na tujichukulie sanduku la agano la Yehova kutoka Shilo,+ twende nalo ili lituokoe kutoka mikononi mwa maadui wetu.”

  • 1 Samweli 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi mtu huyo aliyeleta habari akasimulia hivi: “Waisraeli wamewakimbia Wafilisti, na watu wameshindwa vibaya sana;+ pia, wana wako wawili, Hofni na Finehasi, wamekufa,+ na Sanduku la Mungu wa kweli limetekwa.”+

  • Zaburi 78:61
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 61 Aliacha ishara ya nguvu zake ipelekwe utekwani;

      Fahari yake itiwe mikononi mwa adui.+

  • Zaburi 78:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Makuhani wake waliuawa kwa upanga,+

      Na wajane wao hawakulia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki