1 Samweli 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Isitoshe, Sanduku la Mungu lilitekwa, na wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, wakafa.+ 1 Samweli 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi mtu huyo aliyeleta habari akasimulia hivi: “Waisraeli wamewakimbia Wafilisti, na watu wameshindwa vibaya sana;+ pia, wana wako wawili, Hofni na Finehasi, wamekufa,+ na Sanduku la Mungu wa kweli limetekwa.”+
17 Basi mtu huyo aliyeleta habari akasimulia hivi: “Waisraeli wamewakimbia Wafilisti, na watu wameshindwa vibaya sana;+ pia, wana wako wawili, Hofni na Finehasi, wamekufa,+ na Sanduku la Mungu wa kweli limetekwa.”+