Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndiyo sababu nimeiapia nyumba ya Eli kwamba dhambi ya nyumba ya Eli haitafunikwa kamwe kwa dhabihu au kwa matoleo.”+

  • 1 Samweli 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Isitoshe, Sanduku la Mungu lilitekwa, na wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, wakafa.+

  • 1 Samweli 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mara tu alipotaja Sanduku la Mungu wa kweli, Eli akaanguka nyuma kutoka kwenye kiti chake kando ya lango, na shingo yake ikavunjika naye akafa, kwa sababu alikuwa amezeeka na alikuwa mzito. Alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka 40.

  • 1 Samweli 22:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi mfalme akamwambia Doegi:+ “Wewe geuka uwashambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akageuka na kuwashambulia hao makuhani yeye mwenyewe. Siku hiyo aliwaua wanaume 85 waliovaa efodi ya kitani.+

  • 1 Wafalme 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Basi Sulemani akamwondoa Abiathari asiendelee kutumikia akiwa kuhani wa Yehova, ili kutimiza neno ambalo Yehova alisema dhidi ya nyumba ya Eli+ kule Shilo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki