1 Samweli 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Tazama! Siku zinakuja nitakapokata nguvu zako na za* nyumba ya baba yako, hivi kwamba hakuna mwanamume yeyote wa nyumba yako atakayeishi na kuzeeka.+ 1 Samweli 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Siku hiyo nitamtendea Eli mambo yote niliyosema kuhusu nyumba yake, kuanzia mwanzo mpaka mwisho.+
31 Tazama! Siku zinakuja nitakapokata nguvu zako na za* nyumba ya baba yako, hivi kwamba hakuna mwanamume yeyote wa nyumba yako atakayeishi na kuzeeka.+