51 Huo ndio urithi ambao kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo* za makabila ya Waisraeli waligawanya+ kwa kura kule Shilo+ mbele za Yehova, kwenye mlango wa hema la mkutano.+ Basi wakamaliza kuigawanya nchi.
9 Kisha watu wa kabila la Rubeni, Gadi, na nusu ya kabila la Manase wakawaacha Waisraeli wengine huko Shilo katika nchi ya Kanaani, wakarudi Gileadi,+ nchi yao ya urithi waliyokuwa wakiimiliki kama Yehova alivyowaagiza kupitia Musa.+
19 Ndipo wakasema, “Jamani! Kuna sherehe ya Yehova inayofanywa kila mwaka kule Shilo,+ jiji lililo upande wa kaskazini wa Betheli na upande wa mashariki wa barabara kuu inayopanda kutoka Betheli kwenda Shekemu na upande wa kusini wa Lebona.”