19 Ndipo wakasema, “Jamani! Kuna sherehe ya Yehova inayofanywa kila mwaka kule Shilo,+ jiji lililo upande wa kaskazini wa Betheli na upande wa mashariki wa barabara kuu inayopanda kutoka Betheli kwenda Shekemu na upande wa kusini wa Lebona.”
12 “‘Hata hivyo, sasa nendeni mahali pangu huko Shilo,+ ambapo mwanzoni nilifanya jina langu likae,+ na kuona nilivyopafanya kwa sababu ya uovu wa watu wangu Waisraeli.+