Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 74:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wamepatupa ndani ya moto patakatifu pako.+

      Wametia unajisi maskani ya jina lako mpaka chini.+

  • Zaburi 79:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 79 Ee Mungu, mataifa yameingia katika urithi wako;+

      Wamelitia unajisi hekalu lako takatifu;+

      Wamefanya Yerusalemu kuwa rundo la mabomoko.+

  • Yeremia 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 nitaitendea pia nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake,+ ambayo mnaitegemea,+ na mahali ambapo niliwapa ninyi na mababu zenu, kama nilivyotendea Shilo.+

  • Maombolezo 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Adui amenyoosha mkono wake juu ya vitu vyake vyote vyenye kutamanika.+

      Kwa maana ameona mataifa ambayo yameingia katika patakatifu pake,+

      Ambayo uliamuru kwamba wasiingie katika kutaniko lako.

  • Maombolezo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova ameitupilia mbali madhabahu yake.+ Patakatifu pake amepakataa kwa dharau.+

      Ametia katika mkono wa adui kuta za minara ya makao yake.+

      Wamepaaza sauti zao ndani ya nyumba ya Yehova, kama katika siku ya sherehe.+

  • Ezekieli 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye akazidi kuwaambia: “Itieni nyumba unajisi na kuzijaza nyua kwa wale waliouawa.+ Nendeni!” nao wakaenda na kupiga jijini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki