Zaburi 74:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wamepatupa ndani ya moto patakatifu pako.+Wametia unajisi maskani ya jina lako mpaka chini.+ Zaburi 79:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 79 Ee Mungu, mataifa yameingia katika urithi wako;+Wamelitia unajisi hekalu lako takatifu;+Wamefanya Yerusalemu kuwa rundo la mabomoko.+ Yeremia 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 nitaitendea pia nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake,+ ambayo mnaitegemea,+ na mahali ambapo niliwapa ninyi na mababu zenu, kama nilivyotendea Shilo.+ Maombolezo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Adui amenyoosha mkono wake juu ya vitu vyake vyote vyenye kutamanika.+Kwa maana ameona mataifa ambayo yameingia katika patakatifu pake,+Ambayo uliamuru kwamba wasiingie katika kutaniko lako. Maombolezo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ameitupilia mbali madhabahu yake.+ Patakatifu pake amepakataa kwa dharau.+Ametia katika mkono wa adui kuta za minara ya makao yake.+Wamepaaza sauti zao ndani ya nyumba ya Yehova, kama katika siku ya sherehe.+ Ezekieli 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akazidi kuwaambia: “Itieni nyumba unajisi na kuzijaza nyua kwa wale waliouawa.+ Nendeni!” nao wakaenda na kupiga jijini.
79 Ee Mungu, mataifa yameingia katika urithi wako;+Wamelitia unajisi hekalu lako takatifu;+Wamefanya Yerusalemu kuwa rundo la mabomoko.+
14 nitaitendea pia nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake,+ ambayo mnaitegemea,+ na mahali ambapo niliwapa ninyi na mababu zenu, kama nilivyotendea Shilo.+
10 Adui amenyoosha mkono wake juu ya vitu vyake vyote vyenye kutamanika.+Kwa maana ameona mataifa ambayo yameingia katika patakatifu pake,+Ambayo uliamuru kwamba wasiingie katika kutaniko lako.
7 Yehova ameitupilia mbali madhabahu yake.+ Patakatifu pake amepakataa kwa dharau.+Ametia katika mkono wa adui kuta za minara ya makao yake.+Wamepaaza sauti zao ndani ya nyumba ya Yehova, kama katika siku ya sherehe.+
7 Naye akazidi kuwaambia: “Itieni nyumba unajisi na kuzijaza nyua kwa wale waliouawa.+ Nendeni!” nao wakaenda na kupiga jijini.