9 “ ‘Niliwapiga ninyi kwa kuunguza na kwa ukungu.+ Bustani zenu na mashamba yenu ya matunda mliongeza, lakini mitini yenu na mizeituni yenu ililiwa na kiwavi;+ hata hivyo hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.
16 tangu mambo hayo yalipotukia—mtu alikuja kwenye rundo la vipimo 20, kumbe kulikuwa na 10; mtu alikuja kwenye mtungi wa kushinikizia ili kuchota vipimo 50 vya pipa la divai, kumbe vilikuwa 20.+