6 Mmepanda mbegu nyingi, lakini mavuno ni kidogo.+ Mnakula chakula, lakini hamshibi.+ Mnakunywa, lakini hamlewi. Mnavaa nguo, lakini hakuna yeyote anayepata joto; na yeye anayeajiriwa, anaajiriwa kwa ajili ya mfuko wenye matundu.’ ”+
10 Kwa maana kabla ya siku hizo hapakuwa na mshahara wa wanadamu;+ wala hapakuwa na mshahara wa wanyama wa kufugwa; na kwa yule anayetoka na yule anayeingia hapakuwa na amani kwa sababu ya adui,+ kwa maana nilizidi kuwatupa wanadamu wote mmoja juu ya mwingine.’+