2 “Nami nitawachochea Wamisri juu ya Wamisri, nao hakika watapigana kila mmoja na ndugu yake, na kila mmoja na mwenzake, jiji juu ya jiji, ufalme juu ya ufalme.+
4 Nao wakienda utekwani mbele ya adui zao, kutoka huko nitaamuru upanga, nao utawaua;+ nami nitaweka macho yangu juu yao kwa mabaya, wala si kwa mema.+