Waamuzi 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika siku za Shamgari+ mwana wa Anathi,Katika siku za Yaeli,+ njia hazikuwa na wapitaji,Na wasafiri wa barabarani wakawa wakisafiri kwa njia za kuzunguka.+ 2 Mambo ya Nyakati 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na nyakati hizo hapakuwa na amani kwa yule anayetoka wala kwa yule anayeingia,+ kwa sababu kulikuwa na machafuko mengi kati ya wakaaji wote wa nchi mbalimbali.+
6 Katika siku za Shamgari+ mwana wa Anathi,Katika siku za Yaeli,+ njia hazikuwa na wapitaji,Na wasafiri wa barabarani wakawa wakisafiri kwa njia za kuzunguka.+
5 Na nyakati hizo hapakuwa na amani kwa yule anayetoka wala kwa yule anayeingia,+ kwa sababu kulikuwa na machafuko mengi kati ya wakaaji wote wa nchi mbalimbali.+