22 Nami nitatuma wanyama wa mwituni katikati yenu,+ nao hakika watawaua watoto+ wenu na kukatilia mbali wanyama wenu wa kufugwa na kupunguza hesabu yenu, nazo barabara zenu kwa kweli zitakuwa ukiwa.+
8 Njia kuu zimefanywa ukiwa;+ mwenye kutembea juu ya njia amekoma.+ Amelivunja agano;+ ameyadharau majiji;+ hamhesabu kuwa kitu mwanadamu anayeweza kufa.+