2 Wafalme 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia, Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka. Isaya 36:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Sasa ikawa katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia kwamba Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka.+
13 Na katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia, Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka.
36 Sasa ikawa katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia kwamba Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka.+