Isaya 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 kwa hiyo, tazama! Yehova analeta juu yao+ maji yenye nguvu na yaliyo mengi ya ule Mto,+ mfalme wa Ashuru+ na utukufu wake wote.+ Naye hakika atakuja juu ya sakafu zake zote za vijito na kwenda juu ya kingo zake zote Isaya 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Aha, Mwashuru,+ fimbo ya hasira yangu,+ na kijiti kilicho mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!
7 kwa hiyo, tazama! Yehova analeta juu yao+ maji yenye nguvu na yaliyo mengi ya ule Mto,+ mfalme wa Ashuru+ na utukufu wake wote.+ Naye hakika atakuja juu ya sakafu zake zote za vijito na kwenda juu ya kingo zake zote
5 “Aha, Mwashuru,+ fimbo ya hasira yangu,+ na kijiti kilicho mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!