Kumbukumbu la Torati 32:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Watachoka kutokana na njaa+ na kuliwa na homa kali+Na maangamizi machungu.+Na meno ya wanyama nitatuma juu yao,+Kwa sumu ya watambaazi wa mavumbini.+ 2 Wafalme 17:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na ikawa kwamba walipoanza kukaa humo, hawakumwogopa+ Yehova. Kwa hiyo Yehova akatuma simba+ katikati yao, nao wakaja kuwa wauaji katikati yao. Yeremia 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Nami nitaweka juu yao familia nne,’+ asema Yehova, ‘upanga wa kuua, na mbwa wa kukokota, na viumbe vinavyoruka vya mbinguni+ na wanyama wa dunia ili wale na kuangamiza.
24 Watachoka kutokana na njaa+ na kuliwa na homa kali+Na maangamizi machungu.+Na meno ya wanyama nitatuma juu yao,+Kwa sumu ya watambaazi wa mavumbini.+
25 Na ikawa kwamba walipoanza kukaa humo, hawakumwogopa+ Yehova. Kwa hiyo Yehova akatuma simba+ katikati yao, nao wakaja kuwa wauaji katikati yao.
3 “‘Nami nitaweka juu yao familia nne,’+ asema Yehova, ‘upanga wa kuua, na mbwa wa kukokota, na viumbe vinavyoruka vya mbinguni+ na wanyama wa dunia ili wale na kuangamiza.