Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Watachoka kutokana na njaa+ na kuliwa na homa kali+

      Na maangamizi machungu.+

      Na meno ya wanyama nitatuma juu yao,+

      Kwa sumu ya watambaazi wa mavumbini.+

  • 2 Wafalme 17:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na ikawa kwamba walipoanza kukaa humo, hawakumwogopa+ Yehova. Kwa hiyo Yehova akatuma simba+ katikati yao, nao wakaja kuwa wauaji katikati yao.

  • Yeremia 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Nami nitaweka juu yao familia nne,’+ asema Yehova, ‘upanga wa kuua, na mbwa wa kukokota, na viumbe vinavyoruka vya mbinguni+ na wanyama wa dunia ili wale na kuangamiza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki