Hesabu 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Yehova akatuma nyoka wenye sumu+ katikati ya watu, nao wakawa wakiwauma watu, hivi kwamba watu wengi wa Israeli wakafa.+ Yeremia 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Kwa maana tazama, ninawatuma nyoka katikati yenu, nyoka wenye sumu,+ wasioweza kutumbuizwa,+ na hakika wao watawauma ninyi,” asema Yehova. Amosi 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wakijificha katika kilele cha Karmeli, nitawatafuta kwa uangalifu na kuwachukua kutoka huko.+ Na wakijificha kwenye sakafu ya bahari kutoka mbele za macho yangu,+ huko chini nitamwamuru nyoka, naye atawauma.
6 Basi Yehova akatuma nyoka wenye sumu+ katikati ya watu, nao wakawa wakiwauma watu, hivi kwamba watu wengi wa Israeli wakafa.+
17 “Kwa maana tazama, ninawatuma nyoka katikati yenu, nyoka wenye sumu,+ wasioweza kutumbuizwa,+ na hakika wao watawauma ninyi,” asema Yehova.
3 Nao wakijificha katika kilele cha Karmeli, nitawatafuta kwa uangalifu na kuwachukua kutoka huko.+ Na wakijificha kwenye sakafu ya bahari kutoka mbele za macho yangu,+ huko chini nitamwamuru nyoka, naye atawauma.