22 Nami nitatuma wanyama wa mwituni katikati yenu,+ nao hakika watawaua watoto+ wenu na kukatilia mbali wanyama wenu wa kufugwa na kupunguza hesabu yenu, nazo barabara zenu kwa kweli zitakuwa ukiwa.+
3 “‘Nami nitaweka juu yao familia nne,’+ asema Yehova, ‘upanga wa kuua, na mbwa wa kukokota, na viumbe vinavyoruka vya mbinguni+ na wanyama wa dunia ili wale na kuangamiza.
17 Nami nitatuma juu yenu njaa na wanyama-mwitu wenye kudhuru,+ nao watawaua watoto wenu, na tauni+ na damu+ zitapitia katikati yenu, nami nitauleta upanga juu yenu.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.’”