Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nami nitatuma wanyama wa mwituni katikati yenu,+ nao hakika watawaua watoto+ wenu na kukatilia mbali wanyama wenu wa kufugwa na kupunguza hesabu yenu, nazo barabara zenu kwa kweli zitakuwa ukiwa.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Watachoka kutokana na njaa+ na kuliwa na homa kali+

      Na maangamizi machungu.+

      Na meno ya wanyama nitatuma juu yao,+

      Kwa sumu ya watambaazi wa mavumbini.+

  • 2 Wafalme 17:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na ikawa kwamba walipoanza kukaa humo, hawakumwogopa+ Yehova. Kwa hiyo Yehova akatuma simba+ katikati yao, nao wakaja kuwa wauaji katikati yao.

  • Ezekieli 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Kwa maana hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Hivyo, pia, ndivyo itakavyokuwa wakati kutakapokuwa na hukumu zangu nne zenye madhara+—upanga na njaa na mnyama-mwitu mwenye kudhuru na tauni+—nitakazoleta juu ya Yerusalemu ili kumkatilia mbali kutoka humo mtu wa udongo na mnyama wa kufugwa.+

  • Ezekieli 33:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Unapaswa kuwaambia hivi, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Kama ninavyoishi, hakika wale walio katika mahali palipoharibiwa wataanguka kwa upanga;+ na yule aliye katika shamba, hakika nitamfanya awe chakula cha mnyama-mwitu;+ na wale walio katika mahali imara na katika mapango+ watakufa kwa tauni.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki