24 Mwishowe akageuka nyuma, akawaona, naye akawalaani+ katika jina la Yehova. Ndipo dubu-jike+ wawili wakatoka katika vichaka, wakaanza kuwararua vipande-vipande watoto 42 kati yao.+
17 Nami nitatuma juu yenu njaa na wanyama-mwitu wenye kudhuru,+ nao watawaua watoto wenu, na tauni+ na damu+ zitapitia katikati yenu, nami nitauleta upanga juu yenu.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.’”