Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na itatukia kwamba yule atakayepona upanga+ wa Hazaeli, Yehu atamuua;+ na yule atakayepona upanga wa Yehu, Elisha atamuua.+

  • Methali 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ikiwa umekuwa na hekima, umekuwa na hekima kwa ajili yako mwenyewe;+ na ikiwa umefanya dhihaka, utaichukua, wewe peke yako.+

  • Methali 19:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Inakupasa umpige mwenye dhihaka,+ ili mtu ambaye hana uzoefu apate kuwa mwerevu;+ naye mtu mwenye uelewaji anapaswa kukaripiwa, ili apate kutambua ujuzi.+

  • Methali 19:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Hukumu zimefanywa imara kwa ajili ya wenye dhihaka,+ na mapigo kwa ajili ya mgongo wa wajinga.+

  • Nahumu 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili+ na hulipiza kisasi; Yehova analipiza kisasi+ naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu.+ Yehova anawalipiza kisasi wapinzani wake,+ naye ana kinyongo juu ya adui zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki